Paroles de la chanson Lala Magufuli par Centano

Chanson manquante pour "Centano" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Lala Magufuli"

Paroles de la chanson Lala Magufuli par Centano

Oh oh oh oh, lala lala
Embe dodo embe dodo limelala mchangani
Mungu hutoa na kutwaa kwa wakati kwa wakati
Na jina lake likatukuzwe eh

Ulichotumu umekimaliza
Kwa wakati, kwa wakati
Tunashukutu uuuh

Ni ngumu kuamini kwamba hauko tena
Imezimika nuru
Ni ngumu kuamini kwamba hauko tena
Ni vigumu

Oh oh oh oh, lala lala
Lala baba wa wanyonge lala
Oh oh oh oh, lala lala
Lala baba wa maskini
Oh oh oh oh, lala lala
Lala baba wa wanyonge lala
Lala lala

Wanyonge tunakuombea, masikini tunalia
Umetuachia pigo, pigo
Dua tumekusomea labda Mungu atakurudisha
Ni mzito huu mzigo

Yanayotuumiza moyo
Tukitazama mazuri uliyotufanyia
Ah ni pigo, pigo

Ni ngumu kuamini kwamba hauko tena
Imezimika nuru
Ni ngumu kuamini kwamba hauko tena
Ni vigumu

Oh oh oh oh, lala lala
Lala baba wa wanyonge lala
Oh oh oh oh, lala lala
Lala baba wa maskini
Oh oh oh oh, lala lala
Lala baba wa wanyonge lala
Lala lala

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment